Hata hivyo kauli hiyo ambayo aliisema kwenye mtandao wa Instagram imemletea matatizo kutoka kwa watoto wa Bruce, Kyle na Kendall Jenner.
Kyle alicomment kwenye picha hiyo aliyoiweka Chris Brown na kuandika: Not very nice to say about your friend’s dad.”
“State what you want about the world without bashing others. Leave a positive impact,” aliandik tena Kyle kwenye Twitter.
Chris Brown ameifuta picha hiyo.
Post a Comment