Waziri wa mawasiliano wa Morocco, Mustapha Khalfi amekosolewa kwa kuruhusu show ya J.Lo iliyotajwa kuwa ilikuwa ya kuukosea adabu umma kuoneshwa moja kwa moja kwenye runinga.
Watu walikosoa mavazi ya J.Lo na dancers wake pamoja na mapozi ya kucheza ambayo wanadai hayakustahili kuoneshwa moja kwa moja kwenye runinga.
Hata hivyo waziri huyo amekataa kujiuzulu.
Source: BBC
Post a Comment