Tidal iliyozinduliwa tena March mwaka huu, inashindana na huduma zingine za aina hiyo kama Spotify, Deezer na Google Play.
Jay Z aliinunua Tidal baada ya kumiliki kampuni ya Sweden, Aspiro mapema mwaka huu kwa gharama ya dola milioni 56. Wasanii wakubwa akiwemo Beyonce, Madonna, Rihanna na Alicia Keys ni miongoni mwa wamiliki.
Lil Wayne alijiunga nayo hivi karibuni.
Mpaka sasa Tidal ina watumiaji takriban 770,000 tu ukilinganisha na milioni 20 waliopo Spotify.
Post a Comment