Hata hivyo alisema kuwa hivi karibuni Nisher alimshutumu Hanscana kuiga idea yake ya video ya ‘XO’ ya Joh Makini na kuitumia kwenye video Jux, ‘Nikuite Nani’ bila kujua kuwa wote walimuiga yeye.
“Mtu akikopi kitu changu mimi ninakijua,” alisema Adam. “Walikuwa wanalaumiana kwamba huyu kamkopi huyu wakati wao wenyewe wamenikopi mimi, wenyewe hao madogo, mimi nimekausha, nimeuchuna tu. Wote yaani kuna kazi nikianza kuzipigia mstari, huyu kamkopi huyu, huyu kamkopi huyu na mwisho wake kanikopi mimi.”
Pamoja na hivyo, Adam amesema anajivunia kazi wanazofanya waongozaji hao na kwamba wanaiwakilisha vyema Tanzania.
Post a Comment