Hata hivyo alisema ndoto yake hiyo ilikatika baada ya kuanza kufanya filamu na hivyo kujikuta maisha yake yakitawaliwa na filamu.
Muigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, alisema pamoja na hivyo kupitia filamu amefanya mambo mengi ikiwemo kuishi maisha yake ayatakayo pasipo kumtegemea mtu yoyote. Pia amedai kuwa filamu zimwezesha kujenga nyumba ambayo anadai itakamilika muda si mrefu.
Post a Comment