Hata hivyo muimbaji huyo amedhamiria kurudi tena kwenye muonekano wake wa zamani kwa kufanya mazoezi makali na kutumia lishe maalum.
“20kg to go!Safari ya kupunguza mwili bado inaendelea, nashukuru nimeanza kuona mwanga mbele yangu,” ameandika Ray C kwenye picha aliyoweka Instagram inayoonesha kuwa jitihada zake zimeanza kuzaa matunda.
“Si rahisi ila nimezoea kupambana na lolote mbele yangu na na uhakika ntashinda na hili pia. Am doing ths for all my fans around the world,” ameongeza.
Post a Comment