Madai ya kumpiga mtu yaliyokuwa yakimkabili Chris Brown yafutwa
Madai ya kujeruhi yaliyokuwa yakimkabili Chris Brown jijini Las Vegas yamefutwa.
Hivi ndivyo Nikki Mbishi ameijibu makala ya Nick wa Pili kuhusu hip hop na biashara
Nikki Mbishi ameijibu makala ya Nick wa Pili isemayo Hip hop inavyoikwamisha hip hop Tanzania.
Wakenya wanaamini mimi ni mkikuyu na wanataka nihamie Kenya
Lady Jaydee amesema wakenya wengi wanadhani yeye pia ni mkenya na kwamba kabila lake ni mkikuyu.
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari
Mahakama ya nchini India imemhukumu muigizaji wa Bollywood, Salman Khan kifungo cha miaka mitano jela kwa kumgonga na kumuua mtu asiye na ma...
Rapper tajiri zaidi si Dr. Dre…. ni Diddy – Forbes!
Dr. Dre si rapper tajiri zaidi kama wengi tulivyokuwa tukifahamu baada ya deal la Beats By Dre na Apple!
Jackie Chandiru afunga ndoa kimya kimya!
Muimbaji wa zamani wa kundi la Blue 3 la Uganda, Jackie Chandiru, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu mwenye asili ya Poland, Nal Va...
Davido ashare jukwaa na 50 Cent kwenye pool party Las Vegas
Weekend iliyopita staa wa Nigeria, Davido alishare jukwaa na rapper 50 Cent aliyekuwa akitumbuiza kwenye pool party baada ya ushindi wa Mayw...
NEW VIDEO:BONGE LA NYAU FT BARNABA_VAISI VESA official video
VIDEO
NEW VIDEO:BONGE LA NYAU FT BARNABA_VAISI VESA official video
Video mpya kutoka kwa msanii Bonge la Nyau akimshirikisha Barnaba wimbo unaitwa “Vais Vesa” video imeongozwa na Joowzey
Sikualikwa ‘Zari All White Party ila sina tatizo na Diamond
Ommy Dimpoz hakuwa mmoja wa wasanii 100 walioalikwa kwenye ‘Zari All White Party’, Ijumaa hii.




