“Ile ni kama ajali hivyo wamuelewe kama ambavyo mwenyewe amesema yule ni mtu mzima na ana maumivu yake ndani ya moyo kwa hiyo unapozidi kumkandamiza ni kama unazidi kumuumiza kikubwa ni kumsamehe na kuona je itatokea tena?” aliongeza.
“Siwezi kufurahia eti afungiwe ili iweje sawasawa Simba iombe Yanga ifungiwe unafikiri upinzani utakuja vipi kila kazi lazima awepo wakukupa changamoto naimani mie na Shilole tunapeana changamoto katika kazi yetu ni vizuri watanzania wamuelewe kuwa hiyo ni ajali tu katika kazi.”
Shilole na Snura ni wasanii wanaofananishwa na kupambanishwa mara nyingi.
Post a Comment