“Sasa hivi watu wananufaika, soko ni zuri, sasa hivi hatuwezi kutoa nyimbo kama zamani ukaitoa tu ili iende yenyewe hufiki popote,” amesema muimbaji huyo.
“Lazima uiwekee mipango, budget ya kutoa nyimbo, bana hii ngoma ilie, lazima ufanye video nzuri inayoeleweka. Kwahiyo muziki umebadilika sana. Muziki umekua sana kuanzia kisoko mpaka kiutayarishaji inabidi. Inabidi ujipange vizuri, tofauti na mwanzo mambo yalikuwa rahisi rahisi Kwetu sisi ni changamoto sana na ukiangalia watu wanazaliwa wapya kwahiyo sasa hivi sisi wasanii wa zamani tuna changamoto.”
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.